Search in the website:

HABARI ZA GRANDS LACS

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ameaga dunia tariki 17.03.2021

18 mars 2021

Tanzania na Afrika Mzima ina lia kwa kupoteza shujaa Rais Dkt Pombe. Magufuli ambaye ameaga dunia jijini Dar es salam.    

Read More

Rwanda/Kizito Mihigo akutwa amefariki,maswali kadhaa yaulizwa kwenye mitandao ya kijamii.

19 février 2020

Pale tu taarifa za kifo chake mwana mziki wa nyimbo za injili inchi rwanda zilipo tangazwa,maswali kadhaa yameanza kuliizwa na watumiaji wa mitandao ya kijamii,wakitaka kufahamu njia halisi ya kifo chake. Kizito Mihigo, msanii maarufu wa nyimbi za Injili nchini Rwanda alipatikana amefariki dunia Jumatatu Februari 17 katika chumba ambako alikuwa anazuiliwa kwa muda wa […]

Read More

BENI-DRC/Yapata raia kumi na tano ya uliwa na ADF.

18 février 2020

yapata raia kumi na tano wame uliwa na wengine kumi kutekwa nyara katika shambulio linalo susiwa kuendeshwa na waasi wa Yuganda wa ADF usiku wa Jumatatu, Februari 17 katika maeneo ya Alungupa sekta ya Rwenzori, wilayani Beni. Duru za mali za hakikisha na kusema »Shumbulio limeanza karibia saa 4 usiku.waasi wa ADF walivamia kijiji na […]

Read More

Uvira-Drc/Muungano wa vyombo vya habari Uvira-Fizi na kamanyola,wa sherehekea siku kuu ya redio.

14 février 2020

Muungano wa redio za uvira na Fizi na kamanyola SYMUF, mashariki mwa Drc kivu kusini, waendesha mjadala uliyo kutanisha wana habari wa uvira na fizi,wakuu viongozi wa ki jeshi,polisi,mashirika za ki raia pamaja na raia wa mji wa uvira.Mjadala waendeshwa katika hali ya kusherehekea siku kuu ulimwenguni ya redio inayo yerehekewa kila tarehe 13 february. Kiongozi […]

Read More

BENI-DRC/Watu waendelea kuyatoroka makazi yao.

13 février 2020

Zaidi ya watu 100,000 tayari kutoka makazi yao kufuatia machafuko yanayo shuhudiwa wiyalani BENI mashariki mwa Drc.Shirika la UNHCR husika na kuhudumia wakimbizi lasema ya kuwa watu hao walitoroka katika kipindi cha miezi mbili iliyo pita. Msemaji wa UNHCR, Andrewj Mahecic alisema hayo katika mkutano na waandishi wa habari huko Geneva. Wanawake,wanaume pamoja na watoto […]

Read More

Drc-Kivu kaskazini/Wavuvi arobaini watekwa nyara na mai mai.

28 janvier 2020

Mai-Mai walichukua mateka takriban wavuvi arobaini ambao wanafanya kazi eneo la Vitchumbi pa Rutshuru wakiendesha uvuvi katika ziwa Edward Jumatatu, Januari 27, 2020. Utekaji nyara wa wavuvi hao,ulipelekea uporaji wa mitumbwi kadhaa. Mashirika za kiraia kivu kaskazini,wanaiomba serekali ya drc kutowa huduma za usalama ili wavuvi walio kamatwa mateka wakombolewa mikononi mwa maimai. Mara kwa […]

Read More

Burundi/Wananchi wategemea mabadiliko makubwa baada ya uchaguzi.

27 janvier 2020

Baada ya Jenerali Evariste Ndayishimiye kuteuliwa kuwa mgombea kwenye uchaguzi wa mei 2020 inchini Burundi akitokea chama tawala cha CNDD-FDD,wengi wana tegemea kwamba watayaona mabadiliko makubwa ikiwa atafaulu kuchaguliwa kuwa rais wa inchi hiyo. Hata hivyo wengi wanasema Burundi imepiga hatua kubwa baada ya rais anayaemaliza muhula wake hivi karibuni kutekeleza ahadi yake ya kutogombea […]

Read More

Burundi/ Mgombea wa urais wa chama tawala nchini Burundi atambulika

26 janvier 2020

Jenerali Evariste Ndayishimiye ametangazwa kuwa mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu ujao inchini Burundi.Huyu ata wakilisha chama tawala cha CNDD-FDD katika uchaguzi ujao. Rais wa sasa Peter Nkurunziza ,alitangaza ya kuwa kamwe hata wania tena ugachugi utakao fanyika mwezi mei 2020. Kutangazwa kwake Jenerali Evariste Ndayishimiye kumefanyika leo juma pili katika kikao kilicho endeshwa katika […]

Read More

Drc/Ramadhani Shadary na Marcelin Cishambo waziwiliwa kusafiri.

25 janvier 2020

Katibu mkuu wa Chama cha People’s Reconstruction and Democracy (PPRD) alizuiliwa Ijumaa Januari 24 kusafiri kwenda kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa N’djili.Kulingana na vyanzo vya karibu na uwanja wa ndege ambao waliwakilisha kwa vyombo vya habari Juma mosi hii, Ramazani Shadary na Marcelin Cishambo walitaka kufanya safari hii kwa kutumia pasipoti zao za […]

Read More

Drc/Félix Tshisekedi atishia kuwafuta kazi mawaziri wake.

21 janvier 2020

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametishia kuwafuta kazi Mawaziri wake na kulivunja bunge, iwapo washirika wake wa Kisiasa ambao wanaegemea katika mrengo wa Rais wa Zamani Joseph Kabila, wataendelea kumdharau Tshisekedi amesema, “Wamenipa tabu sana, wanasubiri nishindwe kutimiza kazi yangu. Wananisukuma kufanya mambo ambayo sijapanga kufanya, kama ni kuvunja Bunge naweza kulivunja, na […]

Read More

Load more

Share
Share