Search in the website:

HABARI ZA GRANDS LACS

Nywele za watu weuwisi ni nzuri kuliko nywele za kizungu

22 août 2024

Ni kweli wana wake weusi wange acha nywele za kizungu kichwani na washikamane na nywele za afro.

Read More

Publication de Bienvenu

22 août 2024

Actualité du site swahilimedia !

Read More

Nywele za watu weuwisi ni nzuri kuliko nywele za kizungu

22 août 2024

Ni kweli wana wake weusi wange acha nywele za kizungu kichwani na washikamane na nywele za afro.  

Read More

Harmonize – Ujana (Official Audio)

18 août 2024

Ametowa ngoma kali mpia, kijana ana pambana sana. Big up Harmonize.

Read More

Moise Katumbi katika uchaguzi wa rais mchini DRC

5 octobre 2023

Kiongozi wa upinzani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Moïse Katumbi amewasilisha ombi lake la kugombea katika uchaguzi wa rais wa mwezi Disemba ambapo Rais Félix Tshisekedi atawania kuchaguliwa tena kwa muhula wa pili, chama chake kilitangaza Jumatano.

Read More

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ameaga dunia tariki 17.03.2021

18 mars 2021

Tanzania na Afrika Mzima ina lia kwa kupoteza shujaa Rais Dkt Pombe. Magufuli ambaye ameaga dunia jijini Dar es salam.    

Read More

Rwanda/Kizito Mihigo akutwa amefariki,maswali kadhaa yaulizwa kwenye mitandao ya kijamii.

19 février 2020

Pale tu taarifa za kifo chake mwana mziki wa nyimbo za injili inchi rwanda zilipo tangazwa,maswali kadhaa yameanza kuliizwa na watumiaji wa mitandao ya kijamii,wakitaka kufahamu njia halisi ya kifo chake. Kizito Mihigo, msanii maarufu wa nyimbi za Injili nchini Rwanda alipatikana amefariki dunia Jumatatu Februari 17 katika chumba ambako alikuwa anazuiliwa kwa muda wa […]

Read More

BENI-DRC/Yapata raia kumi na tano ya uliwa na ADF.

18 février 2020

yapata raia kumi na tano wame uliwa na wengine kumi kutekwa nyara katika shambulio linalo susiwa kuendeshwa na waasi wa Yuganda wa ADF usiku wa Jumatatu, Februari 17 katika maeneo ya Alungupa sekta ya Rwenzori, wilayani Beni. Duru za mali za hakikisha na kusema »Shumbulio limeanza karibia saa 4 usiku.waasi wa ADF walivamia kijiji na ku […]

Read More

Uvira-Drc/Muungano wa vyombo vya habari Uvira-Fizi na kamanyola,wa sherehekea siku kuu ya redio.

14 février 2020

Muungano wa redio za uvira na Fizi na kamanyola SYMUF, mashariki mwa Drc kivu kusini, waendesha mjadala uliyo kutanisha wana habari wa uvira na fizi,wakuu viongozi wa ki jeshi,polisi,mashirika za ki raia pamaja na raia wa mji wa uvira.Mjadala waendeshwa katika hali ya kusherehekea siku kuu ulimwenguni ya redio inayo yerehekewa kila tarehe 13 february. Kiongozi […]

Read More

BENI-DRC/Watu waendelea kuyatoroka makazi yao.

13 février 2020

Zaidi ya watu 100,000 tayari kutoka makazi yao kufuatia machafuko yanayo shuhudiwa wiyalani BENI mashariki mwa Drc.Shirika la UNHCR husika na kuhudumia wakimbizi lasema ya kuwa watu hao walitoroka katika kipindi cha miezi mbili iliyo pita. Msemaji wa UNHCR, Andrewj Mahecic alisema hayo katika mkutano na waandishi wa habari huko Geneva. Wanawake,wanaume pamoja na watoto […]

Read More

Load more

Share
Share