SGLM 27 Décembre 2019
China, Japan na Korea Kusini za saini mkataba. Bw. Geng amesema nchi hizo tatu zimekubaliana kuongeza ushirikiano katika ulinzi wa mazingira, mabadiliko ya hali ya hewa, afya, uzeeni, uvumbuzi, michezo na vijana ili kupanua maslahi ya pamoja. Pia zitashikilia kufungua mlango kwa nje na kulinda kwa pamoja utaratibu wa pande nyingi na biashara huria na […]
SGLM 26 Décembre 2019
Wizara ya Usalama wa Umma ya China imesema, Polisi nchini humo imefungua kesi 118,000 za uhalifu wa utapeli kwa kutumia simu za mkononi na kuwakamata watu elfu 99 wakati wa operesheni ya « Cloud Sword » iliyoanza mwezi Juni mwaka huu. Mkurugenzi wa Idara ya Uchunguzi wa Uhalifu iliyo chini ya Wizara hiyo Liu Zhongyi amesema, katika […]
SGLM 18 Décembre 2019
Shirika la haki za binadamu linashutumu kampuni ya Apple, Microsoft, Tesla, Google na Dell kwa kuchukua fursa ya utumikishwaji wa watoto katika migodi ya cobalt katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kesi hiyo iliwasilishwa Jumapili na Mawakili wa Haki za Kimataifa (IRA) katika korti ya Washington; kwa niaba ya wahasiriwa 14 ambao hawajatambuliwa, ikiwa ni […]
SGLM 15 Décembre 2019
Kiongozi mmoja wa waasi wa FDLR auwawa mashariki mwa congo ya kidemocrasia. Jeshi la jemuhuri ya kidemocrasi ya congo lime muuwa kwa risasi Shukuru Mahigane Paulin kiongozi wa waasi wa ki hutu.Ame uwawa katika operesheni ya sokola2 mashariki mwa congo. toka tarehe disemba 11 Picha ya kiongozi huyo imeanza kuonekana kwenye mitandao ya kijaamii akiwa […]
Lavista 15 août 2017
Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na maporomoko ya udongo na mafuriko katika mji mkuu wa Sierra Leone, Freetown, imeongezeka na kufikia zaidi ya watu mia tatu. Inaofiwa kwamba miili zaidi iko chini ya vifusi. Jitihada za kuokoa zilisitishwa kwa muda baada ya giza kuingia. Rais Ernest Bai Koroma amesema kupitia televisheni kwamba vituo vya […]
Lavista 9 juillet 2017
Donald Trump junior, mwana mkubwa wa kiume wa Rais wa Marekani, Donald Trump, amekiri kuwa alifanya mkutano na wakili mmoja kutoka Urusi, aliye na uhusiano wa karibu na Ikulu ya Kremlin mwezi Juni mwaka jana. Mkutano huo ulifanyika muda mfupi baada ya babake kushinda uteuzi wa kuwani kiti cha Urais kwa tiketi ya chama cha […]
Lavista 4 février 2017
Jaji mmoja wa Marekani amesimamisha kwa muda utekelezaji wa amri ya Rais Donald Trump ya kuwazuia raia kutoka mataifa saba, yaliyo na raia wengi wa imani ya Kiislamu kuingia nchini Marekani. Jaji wa Seattle alipuuzilia mbali sababu zilizotolewa na mawakili wa Serikali na kusema kuwa amri hiyo inaweza kusimamishwa mara moja huku kesi hiyo ikiendelea […]
Lavista 29 janvier 2017
Rais mpya wa Marekani Donald Trump amepiga marufuku wakimbizi wote wa Syria kuingia Marekani hadi wakati anasema serikali yake itakuwa imeweka mkakati mkali zaidi wa kuwakagua wakimbizi wanaotafuta hifadhi nchini humo. Kwa mujibu wa amri hiyo ya Trump, wakimbizi wote wanaofika mipakani mwa Marekani kwa sababu ya kutoroka vita makwao au sababu yoyote nyengine pia […]
Lavista 22 Décembre 2016
Rais mteule wa Marekani Donald Trump amelitaka azimio la baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kusitisha ujenzi wa makaazi ya Israel katika ardhi ya Palestina. Katika taarifa iliotolewa kabla ya kura hiyo inayotarajiwa baadaye siku ya Alhamisi, Bw Trump amesema kuwa amani haitaafikiwa kupitia hatua ya Umoja wa Mataifa kuweka masharti. Azimio hilo litaagiza […]
Lavista 22 Décembre 2016
Wabunge wa upinzani nchini Kenya wametoka bungeni kwa hasira katika mji mkuu wa Nairobi, wakisema kuwa baadhi yao walinyanyaswa bungeni mapema asubuhi. Kikao hicho maalum ambacho vyombo vya habari havikuruhusiwa kuingia kilitarajiwa kupigia kura marekebisho ya sheria ya uchaguzi ambayo inaruhusu kuhesabiwa kwa kura moja baada ya nyengine katika uchaguzi wa urais mwaka ujao. Serikali […]