Search in the website:

Diaspora Show

Warundi wa sherehekea umoja wao.

5 février 2020

Tarehe tano february,warundi toka makabila tofauti wa sherehekea umoja wao. Ni sasa miaka 29 toka warundi kukubaliana kwa pamoja kudumisha umoja. Baada ya miaka kadhaa iliyopita ambapo kulionekana utengano na shutma za uadui zikitolewa kila pande. Licha ya hayo,kwa sasa Warundi husema ya kuwa wanashikamana baada ya ku saini makubaliano ya Umoja wa Warundi »Amasezerano y’ubumwe […]

Read More

Swahili media|Vestine ajinyakulia ISANGANIRO AWARD awamu ya 6

12 novembre 2017

Hili limekuwa kama ndoto isiyotimia kwa waimbaji wa kike nchini Burundi.Sasa siyo ndoto tena,Mwanamuziki wa kike mwenye miondoko ya nyimbo za injili ,anayetambulika kwa wengi kama vestine amejinyakulia tunzo nzima la ISANGANIRO AWARD ikiwa ni awamu ya sita yaanai 6TH EDITION. Mwanamuziki huyo amebeba tunzo hilo kwa ushindi wa wimbo wake uliopewa jina la VUGA,zaidi […]

Read More

Swahilimedia| Maisha halisi ya SPOKS Man| Bio

7 novembre 2017

Fahamu maisha halisi ya Mwanamuziki kutoka Nchini Burundi SPOKSMAN. Spoks alizaliwa tarehe 15, April mwaka 1992 katika Hospitali ya Prince Regent Charles iliyopo BURUNDI jijini Bujumbura na kupewa jina la Dushimirimana Eric . Akiwa na umri mdogo wazazi wake walifariki akalelewa Bwiza kwa bibi yake mzaa mama. Elimu yake ya Msingi yaani (Primary School) alianza […]

Read More

Swahili media|DJ PRO awashia moto Mkali wa Show

6 novembre 2017

Mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka nchini Burundi anayetambulika kama DJ PRO amewasha moto kwa Msanii mwenzake anayetambulika kama MKALI WA SHOW kupitia wimbo wake mpya uliopewa jina la BLAA BLAA aliomshirikisha EMERY SUN. Nikukumbushe kuwa tofauti za hawa wasanii wawili zimeanzia kwenye mitandao ya kijamii ila kwa sasa tayari zimefika ndani ya jamii halisia ya […]

Read More

Kaba 5 mwana mziki wa miondoko ya bolingo kutoka Tanzania hakitua juza kuusu mafuriko Dar-es salam

28 octobre 2017

Mafuriko mchini Tanzania hapo Dar es salam. Yaani leo ni Bala.Bado swahilimedias ajipata Habari ya kuusu kifo cha mtu yeyote, lakini watu wame poteza vitu nyingi mali na nyumba zime bomoka.

Read More

Swahilimedia│ Happy Famba ataja kuja kivingine│Today Update

7 octobre 2017

Mwanamuziki ambae ni CEO pia wa THE FIGHTER PRODUCTION amefunguka na kusema ujio wake mwingine baada ya kuwa kimya kwa muda mchache sana. Kupitia mahojiano na mwandishi wa SWAHILI MEDIA,HAPPY FAMBA amesema kwamba anatarajia kuachia wimbo wake mpya baada ya WHY ME ambao ni wimbo umefanya vizuri na kumjengea picha nyingine kwenye INDUSTRY NZIMA YA […]

Read More

News│Mapokezi ya SAUTI SOL nchini Burundi

21 septembre 2017

Kwa shangwe na ndelemo ambazo zimewapokea wasanii maarufu ambao wanaunda kundi nzima la SAUTI SOLO zimewafanya kujisikia wamefika kwenye ulimwengu mwingine ambao ni mpya na wenye ufahari wake. Walipowasili leo mchana wa tarehe 21 Septemba 2017 MAjira ya saa nane wamepokelewa na ndelemo za wapiga ngoma kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Bujumbura kama […]

Read More

Msani Kaba 5 kutoka Dar ana tueleza kwa nini muziki wa BOLINGO ume shuka chini mchini TZ I

15 août 2017

SGLM ime fanya interview na msanii kutoka DAR es salam wa mziki wa BOLINGO: Mr. KABA 5. Msanii huyo ana sema kwamba medias zina sahahu au hazi promoti mziki wa Bolingo. Yaani zina promoti sana style ya Bongo Fleva kuliko style zingine  .

Read More

Load more

Share
Share