Search in the website:

Author: Lavista

Swahili media |Sheebah Karungi amtimizia Ahadi NATACHA|TODAY UPDATE

Written by on 16 décembre 2017

Baada ya ile ahadi kubwa SHEEBAH KARUNGI mwanamuziki kutoka UGANDA aliyoiweka kwake NATACHA LA NAMBA kupitia wimbo wao uliowakutanisha wakali hao wa kibao cha WANGU.Sasa siyo stori tena. Ahadi ambayo SHEEBAH KARUNGI aliiweka kwa NATACHA ni ahadi ya kuweka wimbo wao uliowakutanisha wawili hao kwenye ALBUM yake ambayo anatarajia kuiachia hivi karibuni TAREHE 21 DISEMBA,2017 […]

Read More

Swahili media| Ingoma z’iwacu by B FACE feat.NKUND’ABANTU|Download mp3

Written by on 28 novembre 2017

RAPPER B FACE kutoka nchini Burundi ameachia wimbo wake mpya INGOMA Z’IWACU akiwashilikisha NKUND’ABANTU baada ya SIPENDI UJINGA.Wimbo huo ambao umeanza kuleta gumzo kila sehemu baada ya kuachiwa umetengenezwa na AMIR PRO KUTOKA IKOH MUSIC. Sikiliza na pakua wimbo huo hapa bila chenga zozote.Usisahau kushare na wengine kama kawaida yetu.

Read More

Swahili media| Remember my name by LGT|Download mp3

Written by on 23 novembre 2017

Mwanamuziki kutoka Burundi mwenye makaazi yake Nchini Afrika kusini ameachia wimbo wake mwingine baada ya kujijengea taji kwa ngoma zake kama FAR AWAY, DONT LET ME GO akiwa na mwenzake YSK. Kwa sasa ameamua kuonyesha ukali wake kwa ngoma yake mpya ambayo amefanya pekee yake. Ngoma imepewa jina la REMEMBER MY NAME ikiwa imetengenezwa na […]

Read More

Swahili media|Vestine ajinyakulia ISANGANIRO AWARD awamu ya 6

Written by on 12 novembre 2017

Hili limekuwa kama ndoto isiyotimia kwa waimbaji wa kike nchini Burundi.Sasa siyo ndoto tena,Mwanamuziki wa kike mwenye miondoko ya nyimbo za injili ,anayetambulika kwa wengi kama vestine amejinyakulia tunzo nzima la ISANGANIRO AWARD ikiwa ni awamu ya sita yaanai 6TH EDITION. Mwanamuziki huyo amebeba tunzo hilo kwa ushindi wa wimbo wake uliopewa jina la VUGA,zaidi […]

Read More

Swahilimedia| Maisha halisi ya SPOKS Man| Bio

Written by on 7 novembre 2017

Fahamu maisha halisi ya Mwanamuziki kutoka Nchini Burundi SPOKSMAN. Spoks alizaliwa tarehe 15, April mwaka 1992 katika Hospitali ya Prince Regent Charles iliyopo BURUNDI jijini Bujumbura na kupewa jina la Dushimirimana Eric . Akiwa na umri mdogo wazazi wake walifariki akalelewa Bwiza kwa bibi yake mzaa mama. Elimu yake ya Msingi yaani (Primary School) alianza […]

Read More

Swahili media|DJ PRO awashia moto Mkali wa Show

Written by on 6 novembre 2017

Mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka nchini Burundi anayetambulika kama DJ PRO amewasha moto kwa Msanii mwenzake anayetambulika kama MKALI WA SHOW kupitia wimbo wake mpya uliopewa jina la BLAA BLAA aliomshirikisha EMERY SUN. Nikukumbushe kuwa tofauti za hawa wasanii wawili zimeanzia kwenye mitandao ya kijamii ila kwa sasa tayari zimefika ndani ya jamii halisia ya […]

Read More

Swahilimedia │Jina la Irungu wimbo wake Titus Da Sailor laleta utata kwa mashabiki

Written by on 26 octobre 2017

Baada ya kuachia wimbo wake wa IRUNGU wimbo wake MWANAMUZIKI CHIPUKIZI TITUS DA SAILOR,sasa utata na gumzo nyingi vimeanza kwa mashabiki na wapenzi wa kibao hicho. Ishu nzima ilianza wakati mwanamuziki huyo akiutambulisha wimbo wake,ambapo watu wengi hasa watangazaji ambao walikuwa wamealikwa kwenye utambulishio huo walionekana kutoa maoni yao zaidi wakipendelea kuwa wimbo huo ungepewa […]

Read More

Swahilimedia │Wimbo wa Wangu by Natacha feat.Shebbah watarajiwa kuimbwa Coke Studio Africa

Written by on 26 octobre 2017

Baada ya kuwa wimbo wa WANGU wa kwake NATACHA akimshirikisha SHEBBAH wa UGANDA kuachiwa nje na kupokelewa kwa shangwe kubwa na sapoti nyingi sana. Sasa wimbo huo unatarajiwa kuimba COKE STUDIO AFRICA na SHEBBAH. Kwa mjibu wa Mwanahabari wa NATACHA ,DJ RAPHAN amesema kwamba tayari washaweka makubaliano na SHEBBAH kuwa wimbo huo utaibwa kwenye show […]

Read More

Share
Share